Na. Mwandishi wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip…
Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini ambaye pia ni Waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Ndalichako mapema leo amekabidhi Photocopy Machine kwa Shule za Sekondari za Muhunga, Mwibuye, Kasange, Kigodya Murufiti zote za Kasulu mjini kwa lengo la kuleta ufanisi katika shughuli za shule hizo.

Habari kwa kina itakuijia katika ukurasa huu katika mfumo wa makala hivii karibuni.