Asema hadi sasa imeshawekeza dola za Marekani bilioni 10 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi…
Na. Mwandishi wetu, Dodoma
Timu ya mpira wa minguu ya wasichana kutoka shule ya sekondari ya Fountain Gate ya Dodoma ambayo imetwaa ubingwa wa Afrika katika mashindano ya soka la wasichana kwa shule za sekondari, leo imealikwa bungeni na kupewa heshima kubwa na serikali pamoja na Bunge
Timu hiyo ambayo ilirejea mapema wiki hii kutoka Afrika Kusini yalikofanyika mashindani hayo, imeonesha umahili mkubwa na kuipa heshima Tanzania katika anga la Kimataifa

Mafanikio hayo yanakuja wakati ambapo timu za Simba na Yanga nazo zikishiriki mashindano ya Club Bingwa Afrika kwa upande wa Simba na Shirikisho kwa upande wa yanga yanayoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa miguu barani afrika CAF huku zote zikiwa zimetina hatua ya robo fainali