Na. Mwandishi wetu, Ruangwa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini washiriki…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 18, 2023 ameshuhudia uzinduzi wa jezi ya Timu ya mpira wa miguu ya Namungo ya msimu wa 2023/2024. Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Lindi.