skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amekubali pendekezo la kuongeza watumishi viwango vya mishahara ili kuwawezesha kumudu changamoto za maisha pamoja na madaraja ya vyeo kwa watumishi

Taarifa kutoka Idara ya mawasiliano ya Rais -Ikulu imebainsha kuwa Rais baada ya kupokea mapendekezo kutoka kwa wadau ambayo yalichakatwa na wizara mbalimbali chini ya ofisi ya Waziri mkuu Kassim Majaliwa, amekubali nyongeza kwa kiwango cha asilimia 23.3%

Soma zaidi hapa chini

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma