skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Sisi wadau wa maendeleo na wanahabari katika shirika la maendeleo, utu na uwekezaji (OHIDE) tunakupongeza sana mama yetu kwa kuapishwa na kuanza kazi ya kuongoza nchi yetu kwa nafasi mpya ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Watanzania tuna Imani Kubwa na wewe na nii matumaini yetu kuwa tutaendeleo kukua kiuchumi, kijamii, kiutamaduni, kisiasa na kudumisha ulinzi na usalama

Pongezi nyingi kwa kuwa rais wa kwanza mwanamke Tanzania na Afrika Mashariki

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma