Asema hadi sasa imeshawekeza dola za Marekani bilioni 10 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mapema leo ameondoka nchini kuelekea nchini Urusi ambapo pamoja na mambo mengine atamwakilisha Rais Dr. Samia katika mkutano wa wakuu wa nchi wa mataifa ya afrika pamoja na serikali ya Urusi
Pichani ni Waziri Mkuu Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Vijana,Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Tabia Maulid Mwita, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, wakati alipoondoka nchini kwenda Urusi ambapo atamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa Pili wa Kilele baina ya Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na Urusi.