skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Aliyekuwa Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Makongo inayomilikiwa na Jeshi la wananchi, na mchezaji wa soka aliyevuma katika shule za sekondari Bongwe wilayani Kasulu na baadaye Gombe High School, Gerwin Prosper amesajiliwa katika timu ya chuo cha mpira cha Eigle Noir football academycha nchini Burundi kwa miaka mitatu.

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma