skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Kwa hisani ya UNESCO na Serikali ya Uswiss Radio za Kijamii Tanzania zinajengewa uwezo kwa kupatiwa mafunzo ya Mawasiliano na kujitangaza. Hawa ni wawakilishi toka Mtwara, Lindi, Morogoro na Dodoma. Mwasisi wa Buha FM Radio Ndugu Prosper Kwigize na Bi. Rose Haji waliaminiwa kwa mwaka mzima kutoa mafunzo hayo darasani na kazini. Kuanzishwa kwa Buha FM kutausaidia sana mkoa wa Kigoma na jamii kupata habari chanya kwa ajili ya maisha chanya

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma