skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Klabu kongwe ya Soka nchini Tanzania Yanga ambao ni watani wa jadi wa Timu ya Simba inatafuta michango ya pesa kutoka kwa wanachama kwa ajili ya usajili wa wachezaji

Wakati Uongozi wa Yanga ukiomba wanachama kuchangia pesa ili kupata wachezaji wapya wazuri, wadau wa soka nchini wanahoji uhalali wa viongozi wa Yanga kuomba michango kwa wananchi wakati timu ina mdhamini wake ambaye ni GSM

Je wewe una maoni gani, hii inaongeza ushiriki wa wananchi au inapunguza uaminifu? peleka maoni yako katika kurasa zetu za facebook, Instagram na twitter

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma