skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Baada ya mchakato wa mda mrefu uliozingati kanuni na taratibu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Shirika la Maendeleo la OHIDE leo limekamilisha taratibu za uwasilishaji wa maombi ya leseni ya kituo cha redio cha Buha FM Radio kitakachorusha matangazo kutoka wilayani Kasulu mkoani Kigoma

Mwasisi wa shirika la OHIDE na Buha FM Ndg. Prosper Kwigize akiwa na mwanachama wa OHIDE Ndg. Hudson Chiza wakiwa katika ofisi za TCRA Dar es Salaam kukamilisha taratibu za usajili

Sikiliza wimbo maalumu wa redio yako tarajiwa ya Buha FM Radio hapo chini. Wimbo huu umeimbwa na Mpoki Mwakamela kutoka Kyela mkoani Mbeya.

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma