skip to Main Content
Simu: +255 653 200 211 | Barua Pepe: info@buhafmradio.co.tz  

Mwenyekiti wa asasi ya OHIDE Kasulu ndg. Prosper Kwigize (kulia) na katibu wa OHIDE Bi Silesi Malli (kushoto) Wakiwa katika picha ya Pamoja na Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Atashasta Nditiye (kati) baada ya kikao kuhusu hatua na taratibu za kukamilisha upatikanaji wa Kibali au leseni ya Kasulu community Radio. Kikao kilifanyika makao makuu ya Wiza Jijini Dodoma

This Post Has 0 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back To Top
Buha FM · Buha FM Radio Sauti Ya Kigoma